![]() |
Maji sio mchezo Dooh!!!! |
![]() |
Tena huyu alinimwagia maji ya Tofauti ( Mima) |
![]() |
Yaani wewe unimwagie maji halafu upige picha na mimi nimelowa halafu wewe nguo kavu... |
![]() |
Baada ya kuepa ndoo ya kwanza |
![]() |
Hakuna namna ni kuwa mpole tu |
![]() |
My sister ila na yeye aliniogesha nakusubiri |
![]() |
Mpiga picha uliogopa maji eeeh.... |
![]() |
Daaah kuloweshwa huku... |
![]() |
Look at me now....halafu Surprise |
![]() |
Nshakuwa mpole maji hadi kishikizo cha shati kimefunguka dooh maji kama maporomoko. |
![]() |
Ikabidi ninawe tu |
![]() |
Namtafuta alimwaga maji hadi kishikizo kikafunguka eti |
![]() |
Hivi mnajua kuwa fair kweli? |
![]() |
katoto kakiepa maji |
![]() |
Mima Mima wewe nakusubiri |
![]() |
Daaah |
![]() |
Zamu zenu zitafika |
![]() |
Tulieni nijipange |
0 comments: