Bday boy akiogeshwa maji

Maji sio mchezo Dooh!!!!
Tena huyu alinimwagia maji ya Tofauti ( Mima)
Yaani wewe unimwagie maji halafu upige picha na mimi nimelowa halafu wewe nguo kavu...
Baada ya kuepa ndoo ya kwanza
Hakuna namna ni kuwa mpole tu
My sister ila na yeye aliniogesha nakusubiri
Mpiga picha uliogopa maji eeeh....
Daaah kuloweshwa huku...
Look at me now....halafu Surprise
Nshakuwa mpole maji hadi kishikizo cha shati kimefunguka dooh maji kama maporomoko.
Ikabidi ninawe tu
Namtafuta alimwaga maji hadi kishikizo kikafunguka eti
Hivi mnajua kuwa fair kweli?
katoto kakiepa maji
Mima Mima wewe nakusubiri
Daaah
Zamu zenu zitafika
Tulieni nijipange

0 comments:

Muendelezo wa Maji



Nimeshawaona sura zenu nimewakariri .....

0 comments:

Maji part 2

Pior I see u....
Siku yenu itafika tu
My cic
Yaani huyu 
ngoja tu

0 comments:

Kekiiiiiiii

Yaaani huyu....basi tu
Huyuuuuu 

0 comments:

Kekiiii part 2

Champaigne ilihusika pia...
Duuh bob sio kwa kusubiri huku....
memory
moments
memory
moments
moments
memory
aaaaaaaah Wa we wi wo wu.....
Keki tamu hii
Eti wingi wa Uma ni nini kweli?
moment
Haka kazoezi kanahitaji ujasiri unaweza kujikata mwenyewe.....
Memory
Moment

0 comments:

Ekotiteeeee.....






0 comments: